Kumbukumbu la Torati 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Ila jiangalie na kuitunza vema nafsi yako,+ ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona,+ nayo yasiondoke moyoni mwako siku zote za maisha yako;+ nawe utawajulisha mambo hayo wana wako na wajukuu wako,+ Kumbukumbu la Torati 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka. Kumbukumbu la Torati 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 ndipo utakapomwambia mwana wako, ‘Tulikuwa watumwa kwa Farao katika Misri, lakini Yehova alitutoa Misri kwa mkono wenye nguvu.+ Zaburi 145:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kizazi baada ya kizazi kitazipongeza kazi zako,+Nao watatangaza juu ya matendo yako ya nguvu.+ Yoeli 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kuhusu hilo wasimulieni wana wenu wenyewe, nao wawasimulie wana wao, nao wana wao wasimulie kizazi kinachofuata.+
9 “Ila jiangalie na kuitunza vema nafsi yako,+ ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona,+ nayo yasiondoke moyoni mwako siku zote za maisha yako;+ nawe utawajulisha mambo hayo wana wako na wajukuu wako,+
7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka.
21 ndipo utakapomwambia mwana wako, ‘Tulikuwa watumwa kwa Farao katika Misri, lakini Yehova alitutoa Misri kwa mkono wenye nguvu.+
3 Kuhusu hilo wasimulieni wana wenu wenyewe, nao wawasimulie wana wao, nao wana wao wasimulie kizazi kinachofuata.+