Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana nimefahamiana naye kusudi awaamuru wanawe na nyumba yake baada yake, ndipo washike njia ya Yehova ili kutenda uadilifu na haki;+ ili Yehova apate kumtimizia Abrahamu lile alilosema juu yake.”+

  • Kumbukumbu la Torati 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Ila jiangalie na kuitunza vema nafsi yako,+ ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona,+ nayo yasiondoke moyoni mwako siku zote za maisha yako;+ nawe utawajulisha mambo hayo wana wako na wajukuu wako,+

  • Kumbukumbu la Torati 11:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Pia mtawafundisha wana wenu, ili kusema juu yake unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala na unapoamka.+

  • Methali 22:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mlee mvulana kulingana na njia inayomfaa;+ hata atakapozeeka hatageuka kando na kuiacha.+

  • Waefeso 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nanyi, akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea+ katika nidhamu+ na mwongozo wa akilini+ wa Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki