9 “Ila jiangalie na kuitunza vema nafsi yako,+ ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona,+ nayo yasiondoke moyoni mwako siku zote za maisha yako;+ nawe utawajulisha mambo hayo wana wako na wajukuu wako,+
20 “Ikiwa mwana wako atakuuliza katika siku fulani wakati ujao,+ akisema, ‘Ushuhuda na masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wetu amewaamuru ninyi yanamaanisha nini?’