3 Naye Yona akasimama na kukimbia kwenda Tarshishi+ kutoka mbele za Yehova;+ mwishowe akafika Yopa+ na kupata meli inayokwenda Tarshishi. Basi akatoa malipo yake ya kusafiri, akashuka chini ndani ya meli, apate kwenda pamoja nao Tarshishi kutoka mbele za Yehova.
39 Naye akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali+ na kusema: “Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki+ na kipitilie mbali kutoka kwangu. Lakini, si kulingana na mapenzi yangu,+ bali kulingana na mapenzi yako.”+