21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ pamoja na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka mitatu meli za Tarshishi zilikuja, zikiwa zimebeba dhahabu na fedha,+ pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.+
23Tangazo la Tiro:+ Pigeni mayowe, enyi meli za Tarshishi!+ kwa maana imeporwa isiwe bandari tena, isiwe mahali pa kuingia.+ Wamefunuliwa habari kutoka katika nchi ya Kitimu.+
9 Fedha iliyofuliwa ikawa mabamba ndiyo inayoletwa kutoka Tarshishi,+ na dhahabu kutoka Ufazi,+ kazi ya fundi na ya mikono ya fundi wa chuma; mavazi yao ni uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau. Vyote ni kazi ya watu stadi.+