Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na wana wa Yavani walikuwa Elisha+ na Tarshishi,+ Kitimu+ na Dodanimu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ pamoja na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka mitatu meli za Tarshishi zilikuja, zikiwa zimebeba dhahabu na fedha,+ pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.+

  • Isaya 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Tangazo la Tiro:+ Pigeni mayowe, enyi meli za Tarshishi!+ kwa maana imeporwa isiwe bandari tena, isiwe mahali pa kuingia.+ Wamefunuliwa habari kutoka katika nchi ya Kitimu.+

  • Yeremia 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Fedha iliyofuliwa ikawa mabamba ndiyo inayoletwa kutoka Tarshishi,+ na dhahabu kutoka Ufazi,+ kazi ya fundi na ya mikono ya fundi wa chuma; mavazi yao ni uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau. Vyote ni kazi ya watu stadi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki