Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 na wafalme wote wa Tiro+ na wafalme wote wa Sidoni+ na wafalme wa kisiwa kilicho katika eneo la bahari;

  • Yeremia 47:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa sababu ya siku ambayo inakuja kuwapora Wafilisti+ wote, kumkatilia mbali kutoka Tiro+ na kutoka Sidoni+ kila mwenye kuokoka aliyekuwa akisaidia.+ Kwa maana Yehova anawapora Wafilisti,+ ambao ni mabaki kutoka kisiwa cha Kaftori.+

  • Ezekieli 26:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama niko juu yako, Ee Tiro, nami nitainua mataifa mengi juu yako,+ kama vile bahari inavyoinua mawimbi yake.+

  • Ezekieli 27:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, mfanyie Tiro wimbo wa huzuni,+

  • Yoeli 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Pia, mna nini nami, enyi Tiro na Sidoni+ pia nanyi maeneo ya Ufilisti?+ Je, hivyo ndivyo mnavyonitendea kwa kunipa thawabu? Na ikiwa mnanitendea hivyo, matendo yenu nitayalipa haraka, naam, upesi, juu ya vichwa vyenu.+

  • Amosi 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Tiro,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu ya kulitia mkononi mwa Edomu kundi zima la wahamishwa, na kwa sababu hawakukumbuka agano la ndugu.+

  • Zekaria 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tazama! Yehova mwenyewe atamfukuza, naye hakika atalipiga na kuliangusha baharini jeshi lake;+ naye mwenyewe atateketezwa motoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki