4 kwa sababu ya siku ambayo inakuja kuwapora Wafilisti+ wote, kumkatilia mbali kutoka Tiro+ na kutoka Sidoni+ kila mwenye kuokoka aliyekuwa akisaidia.+ Kwa maana Yehova anawapora Wafilisti,+ ambao ni mabaki kutoka kisiwa cha Kaftori.+
3 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama niko juu yako, Ee Tiro, nami nitainua mataifa mengi juu yako,+ kama vile bahari inavyoinua mawimbi yake.+
4 “Pia, mna nini nami, enyi Tiro na Sidoni+ pia nanyi maeneo ya Ufilisti?+ Je, hivyo ndivyo mnavyonitendea kwa kunipa thawabu? Na ikiwa mnanitendea hivyo, matendo yenu nitayalipa haraka, naam, upesi, juu ya vichwa vyenu.+
9 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Tiro,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu ya kulitia mkononi mwa Edomu kundi zima la wahamishwa, na kwa sababu hawakukumbuka agano la ndugu.+