23Tangazo la Tiro:+ Pigeni mayowe, enyi meli za Tarshishi!+ kwa maana imeporwa isiwe bandari tena, isiwe mahali pa kuingia.+ Wamefunuliwa habari kutoka katika nchi ya Kitimu.+
2 “Mwana wa binadamu, kwa sababu Tiro+ amesema juu ya Yerusalemu,+ ‘Aha! Amevunjwa,+ milango ya vikundi vya watu!+ Hakika mwelekeo wa mambo utageuka uwe kwangu. Nitajazwa—ameharibiwa,’+
4 “Pia, mna nini nami, enyi Tiro na Sidoni+ pia nanyi maeneo ya Ufilisti?+ Je, hivyo ndivyo mnavyonitendea kwa kunipa thawabu? Na ikiwa mnanitendea hivyo, matendo yenu nitayalipa haraka, naam, upesi, juu ya vichwa vyenu.+
9 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Tiro,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu ya kulitia mkononi mwa Edomu kundi zima la wahamishwa, na kwa sababu hawakukumbuka agano la ndugu.+