Yoeli 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 na wana wa Yuda na wana wa Yerusalemu mmewauza+ kwa wana wa Wagiriki,+ kwa kusudi la kuwaondolea mbali kutoka eneo lao wenyewe;+ Amosi 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Tiro,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu ya kulitia mkononi mwa Edomu kundi zima la wahamishwa, na kwa sababu hawakukumbuka agano la ndugu.+
6 na wana wa Yuda na wana wa Yerusalemu mmewauza+ kwa wana wa Wagiriki,+ kwa kusudi la kuwaondolea mbali kutoka eneo lao wenyewe;+
9 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Tiro,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu ya kulitia mkononi mwa Edomu kundi zima la wahamishwa, na kwa sababu hawakukumbuka agano la ndugu.+