2 Mambo ya Nyakati 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ pamoja na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka mitatu meli za Tarshishi zilikuja, zikiwa zimebeba dhahabu na fedha,+ pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.+ Zaburi 48:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa upepo wa mashariki wewe unavunja meli za Tarshishi.+ Isaya 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na juu ya meli zote za Tarshishi+ na juu ya mashua zote zenye kutamanika. Ezekieli 27:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “ ‘ “Meli za Tarshishi+ zilikuwa misafara yako ya vitu vyako vya biashara, hivi kwamba unajazwa na kuwa na utukufu sana katika moyo wa bahari kuu.+
21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ pamoja na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka mitatu meli za Tarshishi zilikuja, zikiwa zimebeba dhahabu na fedha,+ pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.+
25 “ ‘ “Meli za Tarshishi+ zilikuwa misafara yako ya vitu vyako vya biashara, hivi kwamba unajazwa na kuwa na utukufu sana katika moyo wa bahari kuu.+