Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ pamoja na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka mitatu meli za Tarshishi zilikuja, zikiwa zimebeba dhahabu na fedha,+ pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.+

  • Zaburi 48:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa upepo wa mashariki wewe unavunja meli za Tarshishi.+

  • Isaya 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 na juu ya meli zote za Tarshishi+ na juu ya mashua zote zenye kutamanika.

  • Ezekieli 27:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “ ‘ “Meli za Tarshishi+ zilikuwa misafara yako ya vitu vyako vya biashara, hivi kwamba unajazwa na kuwa na utukufu sana katika moyo wa bahari kuu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki