1 Wafalme 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana mfalme alikuwa na kundi la meli za Tarshishi+ baharini pamoja na kundi la meli za Hiramu. Mara moja kila miaka mitatu kundi la meli za Tarshishi zilikuja zikiwa zimebeba dhahabu+ na fedha, pembe za tembo,+ na sokwe na tausi. Ezekieli 27:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “ ‘ “Meli za Tarshishi+ zilikuwa misafara yako ya vitu vyako vya biashara, hivi kwamba unajazwa na kuwa na utukufu sana katika moyo wa bahari kuu.+
22 Kwa maana mfalme alikuwa na kundi la meli za Tarshishi+ baharini pamoja na kundi la meli za Hiramu. Mara moja kila miaka mitatu kundi la meli za Tarshishi zilikuja zikiwa zimebeba dhahabu+ na fedha, pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.
25 “ ‘ “Meli za Tarshishi+ zilikuwa misafara yako ya vitu vyako vya biashara, hivi kwamba unajazwa na kuwa na utukufu sana katika moyo wa bahari kuu.+