Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana mfalme alikuwa na kundi la meli za Tarshishi+ baharini pamoja na kundi la meli za Hiramu. Mara moja kila miaka mitatu kundi la meli za Tarshishi zilikuja zikiwa zimebeba dhahabu+ na fedha, pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.

  • Isaya 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 na juu ya meli zote za Tarshishi+ na juu ya mashua zote zenye kutamanika.

  • Isaya 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Pigeni mayowe, enyi meli za Tarshishi, kwa maana ngome yenu imeporwa.+

  • Isaya 60:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana visiwa vitaendelea kunitumaini,+ meli za Tarshishi+ pia kama pale mwanzoni, ili kuwaleta wana wako kutoka mbali,+ wakiwa na fedha yao na dhahabu yao,+ kwa ajili ya jina+ la Yehova Mungu wako na kwa Mtakatifu wa Israeli,+ kwa maana atakuwa amekurembesha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki