9 Kwa maana visiwa vitaendelea kunitumaini,+ meli za Tarshishi+ pia kama pale mwanzoni, ili kuwaleta wana wako kutoka mbali,+ wakiwa na fedha yao na dhahabu yao,+ kwa ajili ya jina+ la Yehova Mungu wako na kwa Mtakatifu wa Israeli,+ kwa maana atakuwa amekurembesha.+