2 Mambo ya Nyakati 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ pamoja na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka mitatu meli za Tarshishi zilikuja, zikiwa zimebeba dhahabu na fedha,+ pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.+ 2 Mambo ya Nyakati 20:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa hiyo akamfanya kuwa mshirika pamoja naye katika ujenzi wa meli za kwenda Tarshishi+ nao wakajenga meli kule Esion-geberi.+ Zaburi 72:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wafalme wa Tarshishi na wa visiwa+—Watalipa ushuru.+Wafalme wa Sheba na wa Seba—Watatoa zawadi.+
21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ pamoja na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka mitatu meli za Tarshishi zilikuja, zikiwa zimebeba dhahabu na fedha,+ pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.+
36 Kwa hiyo akamfanya kuwa mshirika pamoja naye katika ujenzi wa meli za kwenda Tarshishi+ nao wakajenga meli kule Esion-geberi.+