Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 20:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa hiyo akamfanya kuwa mshirika pamoja naye katika ujenzi wa meli za kwenda Tarshishi+ nao wakajenga meli kule Esion-geberi.+

  • Zaburi 72:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wafalme wa Tarshishi na wa visiwa+—

      Watalipa ushuru.+

      Wafalme wa Sheba na wa Seba—

      Watatoa zawadi.+

  • Isaya 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Tangazo la Tiro:+ Pigeni mayowe, enyi meli za Tarshishi!+ kwa maana imeporwa isiwe bandari tena, isiwe mahali pa kuingia.+ Wamefunuliwa habari kutoka katika nchi ya Kitimu.+

  • Yona 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye Yona akasimama na kukimbia kwenda Tarshishi+ kutoka mbele za Yehova;+ mwishowe akafika Yopa+ na kupata meli inayokwenda Tarshishi. Basi akatoa malipo yake ya kusafiri, akashuka chini ndani ya meli, apate kwenda pamoja nao Tarshishi kutoka mbele za Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki