10 “‘Lakini vukeni mpaka nchi za pwani za Kitimu,+ mkaone. Ndiyo, tumeni watu Kedari+ nanyi mfikirie kwa njia ya pekee, mkaone ikiwa jambo lolote kama hili limetendeka.+
6 Waliyafanya makasia yako kutokana na miti mikubwa sana ya Bashani. Waliifanya omo yako kwa pembe za tembo katika mbao za mvinje, kutoka katika visiwa vya Kitimu.+
30 Na meli za Kitimu zitakuja juu yake,+ naye atahuzunika.
“Naye atarudi na kumwaga shutuma+ juu ya agano+ takatifu na kutenda kwa njia yenye matokeo; naye atarudi na kuwafikiria wale wanaoliacha agano takatifu.