23Tangazo la Tiro:+ Pigeni mayowe, enyi meli za Tarshishi!+ kwa maana imeporwa isiwe bandari tena, isiwe mahali pa kuingia.+ Wamefunuliwa habari kutoka katika nchi ya Kitimu.+
10 “‘Lakini vukeni mpaka nchi za pwani za Kitimu,+ mkaone. Ndiyo, tumeni watu Kedari+ nanyi mfikirie kwa njia ya pekee, mkaone ikiwa jambo lolote kama hili limetendeka.+
6 Waliyafanya makasia yako kutokana na miti mikubwa sana ya Bashani. Waliifanya omo yako kwa pembe za tembo katika mbao za mvinje, kutoka katika visiwa vya Kitimu.+