Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na wana wa Yavani walikuwa Elisha+ na Tarshishi,+ Kitimu+ na Dodanimu.+

  • Hesabu 24:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na kutakuwako meli kutoka pwani ya Kitimu,+

      Nazo hakika zitatesa Ashuru,+

      Nazo zitatesa Eberi kwelikweli.

      Lakini yeye pia ataangamia mwishowe.”

  • Isaya 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Tangazo la Tiro:+ Pigeni mayowe, enyi meli za Tarshishi!+ kwa maana imeporwa isiwe bandari tena, isiwe mahali pa kuingia.+ Wamefunuliwa habari kutoka katika nchi ya Kitimu.+

  • Yeremia 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Lakini vukeni mpaka nchi za pwani za Kitimu,+ mkaone. Ndiyo, tumeni watu Kedari+ nanyi mfikirie kwa njia ya pekee, mkaone ikiwa jambo lolote kama hili limetendeka.+

  • Ezekieli 27:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Waliyafanya makasia yako kutokana na miti mikubwa sana ya Bashani. Waliifanya omo yako kwa pembe za tembo katika mbao za mvinje, kutoka katika visiwa vya Kitimu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki