13 Basi haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kufuatana na majina yao, kulingana na asili za familia zao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi+ na Kedari+ na Adbeeli na Mibsamu+
28 Kuhusu Kedari+ na falme za Hasori,+ ambazo Nebukadreza mfalme wa Babiloni alipiga,+ Yehova amesema hivi: “Simameni, nendeni mpaka Kedari, na muwapore wana wa Mashariki.+