Yeremia 49:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Na Hasori+ atakuwa pango la mbwa-mwitu,+ mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo. Hakuna mtu atakayekaa humo, na hakuna mwana wa binadamu atakayekaa humo akiwa mgeni.”+
33 “Na Hasori+ atakuwa pango la mbwa-mwitu,+ mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo. Hakuna mtu atakayekaa humo, na hakuna mwana wa binadamu atakayekaa humo akiwa mgeni.”+