Yeremia 49:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kuhusu Kedari+ na falme za Hasori,+ ambazo Nebukadreza mfalme wa Babiloni alipiga,+ Yehova amesema hivi: “Simameni, nendeni mpaka Kedari, na muwapore wana wa Mashariki.+
28 Kuhusu Kedari+ na falme za Hasori,+ ambazo Nebukadreza mfalme wa Babiloni alipiga,+ Yehova amesema hivi: “Simameni, nendeni mpaka Kedari, na muwapore wana wa Mashariki.+