Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kufuatana na majina yao, kulingana na asili za familia zao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi+ na Kedari+ na Adbeeli na Mibsamu+

  • 1 Mambo ya Nyakati 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Hizi ndizo asili za familia zao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi+ na Kedari+ na Adbeeli na Mibsamu,+

  • Isaya 42:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nyika+ na majiji yake na yapaaze sauti yao, makao ambayo Kedari hukaa.+ Wakaaji wa mwamba+ na wapaaze kilio kwa shangwe. Watu na walie kwa sauti kubwa kutoka katika vilele vya milima.

  • Yeremia 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Lakini vukeni mpaka nchi za pwani za Kitimu,+ mkaone. Ndiyo, tumeni watu Kedari+ nanyi mfikirie kwa njia ya pekee, mkaone ikiwa jambo lolote kama hili limetendeka.+

  • Ezekieli 27:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Waarabu+ na wakuu wote wa Kedari+ wenyewe walikuwa wanabiashara uliowaajiri. Katika wana-kondoo na kondoo-dume na mbuzi-dume+—walikuwa wanabiashara katika hao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki