Yeremia 48:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “‘Yaacheni majiji, mkae juu ya mwamba,+ ninyi wakaaji wa Moabu, na muwe kama njiwa ambaye hujenga kiota chake katika maeneo ya kinywa cha shimo.’”+ Yeremia 49:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mtetemeko ambao ulisababisha umekudanganya, kimbelembele cha moyo wako,+ ewe unayekaa katika makimbilio ya mwamba, ukishika kilele cha kilima. Ingawa unajenga kiota chako juu kama tai,+ nitakushusha chini kutoka hapo,”+ asema Yehova.
28 “‘Yaacheni majiji, mkae juu ya mwamba,+ ninyi wakaaji wa Moabu, na muwe kama njiwa ambaye hujenga kiota chake katika maeneo ya kinywa cha shimo.’”+
16 Mtetemeko ambao ulisababisha umekudanganya, kimbelembele cha moyo wako,+ ewe unayekaa katika makimbilio ya mwamba, ukishika kilele cha kilima. Ingawa unajenga kiota chako juu kama tai,+ nitakushusha chini kutoka hapo,”+ asema Yehova.