Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yehova ataibomoa nyumba ya watu waliojiinua,+ lakini atauweka imara mpaka wa mjane.+

  • Amosi 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Wakichimba chini kuingia katika Kaburi,* toka humo mkono wangu mwenyewe utawachukua;+ nao wakienda juu mbinguni, toka huko nitawashusha chini.+

  • Obadia 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ukipafanya mahali pako pawe juu kama tai, au ikiwa kiota chako kingewekwa kati ya nyota, ningekushusha chini kutoka hapo,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki