14 Ewe njiwa wangu+ katika makimbilio ya mwamba, katika mahali palipofichika pa njia yenye mwinuko mkali, nionyeshe umbo lako,+ acha nisikie sauti yako, kwa maana sauti yako ni tamu na umbo lako ni lenye kupendeza.’”+
16 Mtetemeko ambao ulisababisha umekudanganya, kimbelembele cha moyo wako,+ ewe unayekaa katika makimbilio ya mwamba, ukishika kilele cha kilima. Ingawa unajenga kiota chako juu kama tai,+ nitakushusha chini kutoka hapo,”+ asema Yehova.