Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 24:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Alipowaona Wakeni,+ akaendeleza neno lake la kimethali na kuendelea kusema:

      “Makao yako ni yenye kudumu, na makao yako yamewekwa juu ya mwamba.

  • Zaburi 55:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nami naendelea kusema: “Laiti ningekuwa na mabawa kama ya njiwa!+

      Ningeruka mbali na kukaa.+

  • Wimbo wa Sulemani 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ewe njiwa wangu+ katika makimbilio ya mwamba, katika mahali palipofichika pa njia yenye mwinuko mkali, nionyeshe umbo lako,+ acha nisikie sauti yako, kwa maana sauti yako ni tamu na umbo lako ni lenye kupendeza.’”+

  • Yeremia 49:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mtetemeko ambao ulisababisha umekudanganya, kimbelembele cha moyo wako,+ ewe unayekaa katika makimbilio ya mwamba, ukishika kilele cha kilima. Ingawa unajenga kiota chako juu kama tai,+ nitakushusha chini kutoka hapo,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki