Mwanzo 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wakeni+ na Wakenizi na Wakadmoni Waamuzi 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wana wa yule Mkeni,+ ambaye Musa alikuwa mwana-mkwe wake,+ wakapanda kutoka katika lile jiji la mitende+ pamoja na wana wa Yuda, wakaingia katika nyika ya Yuda, iliyoko upande wa kusini wa Aradi.+ Ndipo wakaenda, wakaanza kukaa na watu hao.+
16 Na wana wa yule Mkeni,+ ambaye Musa alikuwa mwana-mkwe wake,+ wakapanda kutoka katika lile jiji la mitende+ pamoja na wana wa Yuda, wakaingia katika nyika ya Yuda, iliyoko upande wa kusini wa Aradi.+ Ndipo wakaenda, wakaanza kukaa na watu hao.+