Hesabu 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Alipowaona Wakeni,+ akaendeleza neno lake la kimethali na kuendelea kusema:“Makao yako ni yenye kudumu, na makao yako yamewekwa juu ya mwamba. Waamuzi 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini Heberi+ Mkeni alikuwa amejitenga na Wakeni,+ wana wa Hobabu, ambaye Musa alikuwa mwana-mkwe wake,+ naye alikuwa amelisimamisha hema lake karibu na ule mti mkubwa kule Saananimu, ambao uko katika Kedeshi.
21 Alipowaona Wakeni,+ akaendeleza neno lake la kimethali na kuendelea kusema:“Makao yako ni yenye kudumu, na makao yako yamewekwa juu ya mwamba.
11 Lakini Heberi+ Mkeni alikuwa amejitenga na Wakeni,+ wana wa Hobabu, ambaye Musa alikuwa mwana-mkwe wake,+ naye alikuwa amelisimamisha hema lake karibu na ule mti mkubwa kule Saananimu, ambao uko katika Kedeshi.