Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wimbo wa Sulemani 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mimi nimelala, bali moyo wangu umeamka.+ Kuna sauti ya mpenzi wangu akipiga hodi!”+

      “Nifungulie,+ ewe dada yangu, msichana mwenzi wangu, njiwa wangu, wangu asiye na lawama!+ Maana kichwa changu kimejaa umande, mashungi ya nywele zangu yamejaa matone ya usiku.”+

  • Yeremia 48:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “‘Yaacheni majiji, mkae juu ya mwamba,+ ninyi wakaaji wa Moabu, na muwe kama njiwa ambaye hujenga kiota chake katika maeneo ya kinywa cha shimo.’”+

  • Mathayo 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki