Luka 12:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 nanyi mtakuwa kama watu wanaomngoja bwana+ wao wakati anaporudi kutoka kwenye karamu ya ndoa,+ ili atakapofika+ na kupiga hodi wapate kumfungulia mara moja.
36 nanyi mtakuwa kama watu wanaomngoja bwana+ wao wakati anaporudi kutoka kwenye karamu ya ndoa,+ ili atakapofika+ na kupiga hodi wapate kumfungulia mara moja.