Ufunuo 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tazama! Nimesimama mlangoni+ na kupiga hodi. Mtu yeyote akiisikia sauti yangu na kuufungua mlango,+ nitaingia ndani ya nyumba yake na kula mlo wa jioni pamoja naye, yeye naye pamoja nami.
20 Tazama! Nimesimama mlangoni+ na kupiga hodi. Mtu yeyote akiisikia sauti yangu na kuufungua mlango,+ nitaingia ndani ya nyumba yake na kula mlo wa jioni pamoja naye, yeye naye pamoja nami.