9 Kwa hiyo Esau akaenda kwa Ishmaeli akamchukua Mahalathi binti ya Ishmaeli mwana wa Abrahamu, dada ya Nebayothi, kuwa mke wake, kuongezea wake zake wengine.+
7 Makundi yote ya Kedari+—yatakusanywa pamoja kwako. Kondoo-dume wa Nebayothi+—watakuhudumia.+ Wakiwa na kibali watakuja juu ya madhabahu yangu,+ nami nitairembesha nyumba yangu ya urembo.+