Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nawe utamtoa mwana-kondoo dume mmoja asubuhi,+ na kumtoa yule mwana-kondoo dume mwingine kati ya zile jioni mbili.+

  • Mambo ya Walawi 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Ikiwa nafsi inajiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kwa kutenda dhambi bila kukusudia juu ya mambo matakatifu ya Yehova,+ basi atamtolea Yehova kondoo-dume ambaye hana kasoro kutoka katika kundi, awe toleo lake la hatia,+ kulingana na ile thamani iliyokadiriwa ya shekeli za fedha,+ kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, kuwa toleo la hatia.

  • Mambo ya Walawi 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha akamwambia Haruni: “Jichukulie ndama mchanga awe toleo la dhambi+ na kondoo-dume awe toleo la kuteketezwa,+ ambao hawana kasoro, nawe uwatoe mbele za Yehova.+

  • Hesabu 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye atamtolea Yehova toleo lake, kondoo-dume mmoja asiye na kasoro, aliye katika mwaka wake wa kwanza awe toleo la kuteketezwa+ na mwana-kondoo jike asiye na kasoro, aliye katika mwaka wake wa kwanza awe toleo la dhambi+ na kondoo-dume mmoja asiye na kasoro awe dhabihu ya ushirika,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki