Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Tazama! damu yake haijaletwa ndani katika mahali patakatifu.+ Mlipaswa kula toleo hilo katika mahali patakatifu, kama vile nilivyokuwa nimeamriwa.”+

  • Mambo ya Walawi 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Sasa ikiwa mtu atakula kitu kitakatifu bila kukusudia,+ basi ataongeza sehemu yake ya tano+ juu yake naye atampa kuhani hicho kitu kitakatifu.

  • Hesabu 18:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hilo litakuwa lenu kutoka katika vitu vitakatifu zaidi, kutoka katika toleo linalotolewa kwa njia ya moto, kila toleo lao pamoja na kila toleo lao la nafaka+ na kila toleo lao la dhambi+ na kila toleo lao la hatia,+ ambalo watanirudishia. Ni kitu kitakatifu zaidi kwa ajili yako na wana wako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki