Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye ataleta toleo lake la hatia+ mbele za Yehova kwa ajili ya dhambi yake ambayo ametenda, yaani, wa kike kutoka katika kundi, mwana-kondoo jike au mwana-mbuzi jike,+ kwa ajili ya toleo la dhambi; naye kuhani atamfanyia upatanisho kwa ajili ya dhambi yake.+

  • Mambo ya Walawi 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Nayo hii ndiyo sheria ya toleo la hatia:+ Ni kitu kitakatifu zaidi.+

  • Mambo ya Walawi 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kama toleo la dhambi lilivyo, ndivyo na toleo la hatia lilivyo. Kuna sheria moja kwa matoleo hayo.+ Litakuwa la kuhani ambaye atafanya upatanisho kwa toleo hilo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki