6 Naye ataleta toleo lake la hatia+ mbele za Yehova kwa ajili ya dhambi yake ambayo ametenda, yaani, wa kike kutoka katika kundi, mwana-kondoo jike au mwana-mbuzi jike,+ kwa ajili ya toleo la dhambi; naye kuhani atamfanyia upatanisho kwa ajili ya dhambi yake.+