Mambo ya Walawi 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akamwambia Haruni: “Chukua ndama mchanga kwa ajili ya dhabihu ya dhambi+ na kondoo dume kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa, wanyama wasio na kasoro, nawe uwatoe mbele za Yehova.
2 Akamwambia Haruni: “Chukua ndama mchanga kwa ajili ya dhabihu ya dhambi+ na kondoo dume kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa, wanyama wasio na kasoro, nawe uwatoe mbele za Yehova.