Mambo ya Walawi 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Kuhani aliyetiwa mafuta+ akitenda dhambi+ na kuwaletea watu hatia, basi atamtolea Yehova ng’ombe dume mchanga asiye na kasoro, kuwa dhabihu ya dhambi kwa ajili ya dhambi aliyotenda.+
3 “‘Kuhani aliyetiwa mafuta+ akitenda dhambi+ na kuwaletea watu hatia, basi atamtolea Yehova ng’ombe dume mchanga asiye na kasoro, kuwa dhabihu ya dhambi kwa ajili ya dhambi aliyotenda.+