13 Basi haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kufuatana na majina yao, kulingana na asili za familia zao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi+ na Kedari+ na Adbeeli na Mibsamu+
7 Makundi yote ya Kedari+—yatakusanywa pamoja kwako. Kondoo-dume wa Nebayothi+—watakuhudumia.+ Wakiwa na kibali watakuja juu ya madhabahu yangu,+ nami nitairembesha nyumba yangu ya urembo.+