28 Kuhusu Kedari+ na falme za Hasori,+ ambazo Nebukadreza mfalme wa Babiloni alipiga,+ Yehova amesema hivi: “Simameni, nendeni mpaka Kedari, na muwapore wana wa Mashariki.+
21 Waarabu+ na wakuu wote wa Kedari+ wenyewe walikuwa wanabiashara uliowaajiri. Katika wana-kondoo na kondoo-dume na mbuzi-dume+—walikuwa wanabiashara katika hao.