17 Na wale waliobaki kati ya hesabu ya wapiga-upinde, wale wanaume wenye nguvu wa wana wa Kedari, watakuwa wachache,+ kwa maana Yehova mwenyewe, Mungu wa Israeli, amesema hivyo.”+
21 Waarabu+ na wakuu wote wa Kedari+ wenyewe walikuwa wanabiashara uliowaajiri. Katika wana-kondoo na kondoo-dume na mbuzi-dume+—walikuwa wanabiashara katika hao.