Zaburi 120:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ole wangu, kwa maana nimekaa nikiwa mgeni katika Mesheki!+Nimekaa pamoja na mahema ya Kedari.+ Ezekieli 27:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Waarabu+ na wakuu wote wa Kedari+ wenyewe walikuwa wanabiashara uliowaajiri. Katika wana-kondoo na kondoo-dume na mbuzi-dume+—walikuwa wanabiashara katika hao.
21 Waarabu+ na wakuu wote wa Kedari+ wenyewe walikuwa wanabiashara uliowaajiri. Katika wana-kondoo na kondoo-dume na mbuzi-dume+—walikuwa wanabiashara katika hao.