1 Wafalme 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tena mfalme akatengeneza kiti kikubwa cha ufalme+ cha pembe za tembo+ na kukifunika kwa dhahabu safi.+ Amosi 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami nitaiangusha nyumba ya wakati wa majira ya baridi+ kali pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi.’+ “ ‘Na nyumba za pembe za tembo zitaangamia,+ na nyumba nyingi zitakwisha,’+ asema Yehova.”
18 Tena mfalme akatengeneza kiti kikubwa cha ufalme+ cha pembe za tembo+ na kukifunika kwa dhahabu safi.+
15 Nami nitaiangusha nyumba ya wakati wa majira ya baridi+ kali pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi.’+ “ ‘Na nyumba za pembe za tembo zitaangamia,+ na nyumba nyingi zitakwisha,’+ asema Yehova.”