Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Na mambo mengine ya Ahabu na yote aliyofanya na ile nyumba ya pembe za tembo+ aliyoijenga na majiji yote aliyoyajenga, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?

  • Zaburi 45:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mavazi yako yote ni manemane na udi na kida;+

      Kutoka katika jumba kuu la mfalme la pembe,+ vinanda vimekufanya ushangilie.

  • Amosi 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ninyi watu mnaojilaza katika vitanda vya pembe za tembo+ na kujitandaza katika vitanda vyao, na mnaokula kondoo-dume kati ya kundi na ng’ombe-dume wachanga kutoka kati ya ndama waliononeshwa;+

  • Ufunuo 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 mali zilizojaa+ za dhahabu na fedha na jiwe la thamani na lulu na kitani bora na zambarau na hariri na vitambaa vyekundu; na kila kitu cha miti iliyotiwa manukato na kila namna ya kitu cha pembe ya tembo na kila namna ya kitu kinachotokana na miti ya thamani zaidi na cha shaba na cha chuma na cha marumaru;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki