19 Na mambo mengine ya Yeroboamu, jinsi alivyopiga vita+ na jinsi alivyotawala, tazama, yameandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli.
27 Na mambo mengine ya Omri, yale aliyoyafanya na nguvu zake alizotumia kutenda, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?