Isaya 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova wa majeshi ameapa masikioni mwangu kwamba nyumba nyingi, ingawa ni kubwa na nzuri, zitakuwa kitu cha kushangaza kabisa, bila mkaaji.+ Amosi 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “ ‘Kwa maana ni Yehova anayeamuru,+ naye ataipiga ile nyumba kubwa kwa kuifanya kuwa mabomoko na ile nyumba ndogo kwa kuifanya kuwa magofu.+
9 Yehova wa majeshi ameapa masikioni mwangu kwamba nyumba nyingi, ingawa ni kubwa na nzuri, zitakuwa kitu cha kushangaza kabisa, bila mkaaji.+
11 “ ‘Kwa maana ni Yehova anayeamuru,+ naye ataipiga ile nyumba kubwa kwa kuifanya kuwa mabomoko na ile nyumba ndogo kwa kuifanya kuwa magofu.+