2 Wafalme 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ na nyumba ya kila mtu mkuu akaiteketeza kwa moto.+ Amosi 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami nitaiangusha nyumba ya wakati wa majira ya baridi+ kali pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi.’+ “ ‘Na nyumba za pembe za tembo zitaangamia,+ na nyumba nyingi zitakwisha,’+ asema Yehova.”
9 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ na nyumba ya kila mtu mkuu akaiteketeza kwa moto.+
15 Nami nitaiangusha nyumba ya wakati wa majira ya baridi+ kali pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi.’+ “ ‘Na nyumba za pembe za tembo zitaangamia,+ na nyumba nyingi zitakwisha,’+ asema Yehova.”