Isaya 51:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Uadilifu wangu uko karibu.+ Wokovu+ wangu hakika utatoka, na mikono yangu itavihukumu vikundi vya watu.+ Visiwa vitanitumaini mimi,+ navyo vitaungojea mkono wangu.+ Waroma 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na tena Isaya anasema: “Patakuwa na mzizi wa Yese,+ na patakuwa na mmoja ambaye atasimama ili kutawala mataifa;+ na mataifa yatamtumainia yeye.”+
5 Uadilifu wangu uko karibu.+ Wokovu+ wangu hakika utatoka, na mikono yangu itavihukumu vikundi vya watu.+ Visiwa vitanitumaini mimi,+ navyo vitaungojea mkono wangu.+
12 Na tena Isaya anasema: “Patakuwa na mzizi wa Yese,+ na patakuwa na mmoja ambaye atasimama ili kutawala mataifa;+ na mataifa yatamtumainia yeye.”+