Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 149:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana Yehova anawafurahia watu wake.+

      Anawarembesha wapole kwa wokovu.+

  • Isaya 52:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Amka, amka, vaa nguvu zako,+ Ee Sayuni! Vaa mavazi yako mazuri,+ Ee Yerusalemu, jiji takatifu!+ Kwa maana mtu asiyetahiriwa na mtu asiye safi hawataingia ndani yako tena.+

  • Isaya 55:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Tazama! Utaliita taifa ambalo hulijui,+ na watu wa taifa ambao hawakukujua watakimbia wakija kwako,+ kwa ajili ya Yehova Mungu wako,+ na kwa ajili ya Mtakatifu wa Israeli,+ kwa sababu atakuwa amekurembesha.+

  • Luka 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 nuru+ ya kuondoa utaji+ kwa mataifa+ na utukufu wa watu wako Israeli.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki