Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi wakuu+ wa watu walikuwa na makao yao katika Yerusalemu;+ lakini wale watu wengine walipiga kura+ kuleta ndani mtu mmoja kati ya watu kumi ili waishi Yerusalemu lile jiji takatifu,+ na wale watu wengine, sehemu tisa, waishi katika yale majiji mengine.

  • Zaburi 48:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana+

      Katika jiji la Mungu wetu,+ katika mlima wake mtakatifu.+

  • Mathayo 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo Ibilisi akamchukua, akaenda pamoja naye, na kuingia katika lile jiji takatifu,+ naye akamsimamisha juu ya mnara wa hekalu

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki