31 Piga mayowe, Ee lango! Paaza kilio, Ee jiji! Ninyi nyote mtavunjika moyo, Ee Ufilisti! Kwa maana moshi unakuja kutoka kaskazini, wala hakuna yeyote anayejitenga na vikosi vyake.”+
20 na jamii yote iliyochangamana, na wafalme wote wa nchi ya Usi,+ na wafalme wote wa nchi ya Wafilisti+ na Ashkeloni+ na Gaza+ na Ekroni+ na mabaki ya Ashdodi;+
8 Nami nitakatilia mbali mkaaji kutoka Ashdodi,+ na anayeshika fimbo ya enzi kutoka Ashkeloni;+ nami nitageuza mkono wangu+ juu ya Ekroni,+ na mabaki ya Wafilisti yataangamia,”+ Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema.’
5 “Ole wao wanaokaa katika eneo la bahari, taifa la Wakerethi!+ Neno la Yehova liko kinyume chenu. Ee Kanaani, nchi ya Wafilisti, nitakuangamiza wewe pia, hivi kwamba hakutakuwa na mkaaji.+