Yeremia 47:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Upara+ utakuja Gaza.+ Ashkeloni+ limenyamazishwa. Ee mabaki ya nchi yao tambarare ya chini, utaendelea kujitia mikato mpaka wakati gani?+ Sefania 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Maana Gaza litakuwa jiji lililoachwa;+ na Ashkeloni litakuwa mahame yenye ukiwa.+ Nalo Ashdodi,+ watalifukuza katikati ya mchana;+ Ekroni nalo litang’olewa.+
5 Upara+ utakuja Gaza.+ Ashkeloni+ limenyamazishwa. Ee mabaki ya nchi yao tambarare ya chini, utaendelea kujitia mikato mpaka wakati gani?+
4 Maana Gaza litakuwa jiji lililoachwa;+ na Ashkeloni litakuwa mahame yenye ukiwa.+ Nalo Ashdodi,+ watalifukuza katikati ya mchana;+ Ekroni nalo litang’olewa.+