20 na jamii yote iliyochangamana, na wafalme wote wa nchi ya Usi,+ na wafalme wote wa nchi ya Wafilisti+ na Ashkeloni+ na Gaza+ na Ekroni+ na mabaki ya Ashdodi;+
16 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaunyoosha mkono wangu juu ya Wafilisti,+ nami nitawakatilia mbali Wakerethi+ na kuiangamiza pwani ya bahari inayobaki.+